MHE. HEMED AWAFARIJI WANA CCM WILAYA KUSINI KWA KUUNGULIWA NA MOTO KWA OFISI YAO

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla amewataka Wanachama wa CCM na Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja kuendelea kuwa watulivu na wastahamilivu katika kipindi hichi kifupi kufuatia Jengo la Afisi yao ya Chama Wilaya kuungua Moto.Mheshimiwa Hemed Suleiman ametoa kauli hiyo wakati alipozuru eneo la tukio hapo Makunduchi kuona athari